14. Atanijulisha yote aliyonipangia;na mengi kama hayo yamo akilini mwake.
15. Hivyo, natetemeka kwa hofu mbele yake;hata nikifikiria tu napatwa na woga.
16. Mungu ameufanya moyo wangu ufifie,Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.
17. Maana nimekumbwa na giza,na giza nene limetanda usoni mwangu.