10. Naam, ng'ombe wao wote huongezeka,huzaa bila matatizo yoyote.
11. Watoto wao wachanga huwatembeza kama kundi;na watoto wao hucheza ngoma;
12. hucheza muziki wa ngoma na vinubi,na kufurahia sauti ya filimbi.
13. Huishi maisha ya fanakakisha hushuka kwa amani kuzimu.