Yobu 17:13-15 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Kwa vile Kuzimu ndio nyumba yangu,na makao yangu yamo humo gizani;

14. kama naliita kaburi ‘baba yangu’na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’,

15. je, nimebakiwa na tumaini gani?Ni nani awezaye kuona tumaini hilo?

Yobu 17