Yobu 16:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hapo Yobu akajibu:

2. “Mambo kama hayo nimeyasikia mengi;nyinyi ni wafariji duni kabisa!

3. Mwisho wa maneno haya matupu ni lini?Au ni kitu gani kinachowachochea kujibu?

Yobu 16