Yobu 15:4-6 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Lakini wewe unapuuza uchaji wa Mungu;na kuzuia kutafakari mbele ya Mungu.

5. Uovu wako ndio unaokifundisha kinywa chako,nawe wachagua kusema kama wadanganyifu.

6. Maneno yako mwenyewe yanakuhukumu, sio mimi;matamshi yako yashuhudia dhidi yako.

Yobu 15