Yobu 13:9-11 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Je, akiwakagua nyinyi mtapona?Au mnadhani mnaweza kumdanganya Mungu kama watu?

10. Hakika yeye atawakemeakama mkionesha upendeleo kwa siri.

11. Je, fahari yake haiwatishi?Je, hampatwi na hofu juu yake?

Yobu 13