Yobu 13:26-28 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Wewe umetoa mashtaka makali dhidi yangu,na kunibebesha dhambi za ujana wangu.

27. Wanifunga minyororo miguuni,wazichungulia hatua zangu zote,na nyayo zangu umeziwekea kikomo.

28. Nami naishia kama mti uliooza,mithili ya vazi lililoliwa na nondo.

Yobu 13