Yobu 11:19-20 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Utalala bila kuogopeshwa na mtu;watu wengi watakuomba msaada.

20. Lakini waovu macho yao yatafifia,njia zote za kutorokea zitawapotea;tumaini lao la mwisho ni kukata roho!”

Yobu 11