Yeremia 8:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote waliobaki wa jamaa hii mbovu, mahali popote pale nilipowatawanya, wataona heri kufa kuliko kuishi. Ndivyo nisemavyo mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi.

Yeremia 8

Yeremia 8:1-6