Yeremia 7:6 Biblia Habari Njema (BHN)

kama mkiacha kuwadhulumu wageni, yatima au wajane au kuwaua watu wasio na hatia katika nchi hii; kama mkiacha kuabudu miungu mingine na kujiangamiza wenyewe,

Yeremia 7

Yeremia 7:2-12