Yeremia 6:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi:“Kusanyeni watu wote wa Israeli waliobakikama watu wakusanyavyo zabibu zote;kama afanyavyo mchumazabibu,pitisheni tena mikono yenu katika matawi yake.”

Yeremia 6

Yeremia 6:2-18