Yeremia 50:4 Biblia Habari Njema (BHN)

“Siku hizo na wakati huo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, watu wa Israeli na watu wa Yuda watakusanyika pamoja na kurudi wakilia huku wananitafuta mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wao.

Yeremia 50

Yeremia 50:1-6