Yeremia 50:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mimi, Mkombozi wao ni mwenye nguvu. Mwenyezi-Mungu wa Majeshi ndilo jina langu. Hakika nitatetea kisa chao ili nilete amani katika nchi yao, lakini taabu kwa wakazi wa Babuloni.

Yeremia 50

Yeremia 50:32-40