Yeremia 49:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mimi nitawaleteeni vitishokutoka kwa jirani zenu wote,nanyi mtafukuzwa nje kila mtu kivyake,bila mtu wa kuwakusanya wakimbizi.Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nimesema.

Yeremia 49

Yeremia 49:1-14