Yeremia 49:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhusu Kedari na falme za Hazori ambazo Nebukadneza mfalme wa Babuloni, alizishambulia na kuzishinda, Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Inuka uende kulishambulia kabila la Kedari!Waangamize watu wa mashariki!

Yeremia 49

Yeremia 49:24-33