Yeremia 49:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama vile Sodoma na Gomora na miji jirani yake ilivyoangamizwa, mimi Mwenyezi-Mungu nasema, hakutakuwa na mtu yeyote atakayeishi Edomu wala kufanya mashauri humo.

Yeremia 49

Yeremia 49:10-20