Yeremia 48:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Juu ya nyumba za Moabu na katika viwanja vyao hakuna kinachosikika ila tu maombolezo. Mimi nimemvunja Moabu kama chombo kisichotakiwa na mtu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Yeremia 48

Yeremia 48:35-45