Yeremia 44:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Maafa haya yamewapata mpaka leo kwa sababu mliitolea sadaka za kuteketezwa miungu mingine na kumkosea Mwenyezi-Mungu, mkakataa kutii sauti yake au kufuata sheria yake, kanuni zake na maagizo yake.”

Yeremia 44

Yeremia 44:19-27