Yeremia 44:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao wanawake wakasema, “Tulimfukizia ubani na kummiminia kinywaji malkia wa mbinguni. Tulifanya hivyo kwa kibali cha waume zetu. Tena tulimtengenezea mikate yenye sura yake na kummiminia kinywaji!”

Yeremia 44

Yeremia 44:12-22