Yeremia 43:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Yohanani mwana wa Karea na makamanda wote wa majeshi waliwachukua watu wote wa Yuda waliosalia ambao walikuwa wamerudi nchini Yuda kutoka mataifa yote ambako walikuwa wametawanywa;

Yeremia 43

Yeremia 43:4-10