Yeremia 42:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Iwe ni jambo la kupendeza au la, sisi tutaitii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu ambaye tunakutuma kwake ili tufanikiwe tutakapomtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.”

Yeremia 42

Yeremia 42:4-14