Yeremia 42:15 Biblia Habari Njema (BHN)

basi, sikilizeni asemavyo Mwenyezi-Mungu enyi mabaki ya Yuda. Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi: Kama mmekusudia kuingia nchini Misri na kukaa huko,

Yeremia 42

Yeremia 42:7-16