Yeremia 42:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mtabaki katika nchi hii, basi, nitawajenga, wala sitawabomoa; nitawaotesha wala sitawangoa; kwa maana nitabadili nia kwa sababu ya maafa niliyowatenda.

Yeremia 42

Yeremia 42:1-19