Yeremia 40:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Na sasa Mwenyezi-Mungu ametekeleza jambo hilo na kutenda kama alivyosema, kwa sababu nyinyi nyote mlimkosea Mwenyezi-Mungu na kukataa kumtii, jambo hilo limewapata.

Yeremia 40

Yeremia 40:1-13