Yeremia 40:14 Biblia Habari Njema (BHN)

“Je, una habari kwamba Baali mfalme wa Waamoni, amemtuma Ishmaeli mwana wa Nethania, akuue?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu, hakuamini maneno yao.

Yeremia 40

Yeremia 40:13-16