Yeremia 40:12 Biblia Habari Njema (BHN)

wote walirudi kutoka mahali pote walipokuwa wametawanyika na kwenda katika nchi ya Yuda kwa Gedalia huko Mizpa. Walichuma zabibu na matunda ya kiangazi kwa wingi sana.

Yeremia 40

Yeremia 40:9-15