Yeremia 40:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi nitakaa Mizpa niwawakilishe nyinyi kwa Wakaldayo watakaofika kwetu; lakini nyinyi kusanyeni na kuhifadhi divai, matunda ya kiangazi na mafuta, mkae katika miji mnayoimiliki.”

Yeremia 40

Yeremia 40:1-11