Yeremia 39:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamkabidhi Yeremia kwa Gedalia mwana wa Ahikamu, mjukuu wa Shafani, amchukue nyumbani kwake. Basi, Yeremia akaishi pamoja na wananchi wengine.

Yeremia 39

Yeremia 39:13-15