Yeremia 38:9 Biblia Habari Njema (BHN)

“Bwana wangu mfalme, watu hawa wamefanya kitu kibaya. Wamemtumbukiza yule nabii Yeremia kisimani ambamo kwa kweli atakufa kwa njaa, kwa maana hamna chakula tena mjini.”

Yeremia 38

Yeremia 38:6-19