Yeremia 38:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeremia akamjibu, “Hutakabidhiwa kwao. Wewe sasa tii anachosema Mwenyezi-Mungu, kama ninavyokuambia, na mambo yote yatakuendea vema, na maisha yako yatasalimika.

Yeremia 38

Yeremia 38:12-21