Yeremia 38:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, mfalme Sedekia alimwapia Yeremia kwa siri akisema, “Kama aishivyo Mwenyezi-Mungu aliyetupa uhai, sitakuua wala sitakutia mikononi mwa hawa wanaotaka kukuua.”

Yeremia 38

Yeremia 38:13-24