Yeremia 37:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Sedekia aliwatuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia, wamwombe awaombee kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wao.

Yeremia 37

Yeremia 37:1-5