Yeremia 36:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Baruku mwana wa Neria, alitimiza yote aliyoamriwa na nabii Yeremia kuhusu kusoma maneno ya Mwenyezi-Mungu ndani ya nyumba yake Mwenyezi-Mungu kutoka katika kitabu hicho.

Yeremia 36

Yeremia 36:7-15