Yeremia 36:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Yeremia akamwita Baruku mwana wa Neria. Naye Baruku akaandika katika kitabu maneno yote aliyotamka Yeremia ambayo Mwenyezi-Mungu alikuwa amemwambia.

Yeremia 36

Yeremia 36:3-12