Yeremia 36:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, mfalme alimtuma Yehudi aende kuleta ile hati. Yehudi aliichukua kutoka chumbani mwa katibu Elishama, akamsomea mfalme na wakuu wote waliokuwa wamesimama karibu na mfalme.

Yeremia 36

Yeremia 36:13-29