Yeremia 36:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Chukua kitabu uandike humo maneno yote niliyokuambia juu ya Israeli, juu ya Yuda na mataifa yote, tangu siku nilipoanza kuongea nawe, wakati Yosia alipokuwa mfalme mpaka leo.

Yeremia 36

Yeremia 36:1-6