Yeremia 35:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wao wakajibu, “Sisi hatunywi divai, maana Yonadabu mwana wa Rekabu, mzee wetu, alituamuru hivi: ‘Msinywe divai; msinywe nyinyi wenyewe binafsi wala wana wenu milele.

Yeremia 35

Yeremia 35:1-9