Yeremia 34:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini baadaye mligeuka, mkalitia unajisi jina langu, wakati mlipowachukua tena watumwa walewale wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaachia kama walivyotaka, mkawalazimisha kuwa watumwa tena.

Yeremia 34

Yeremia 34:14-17