Yeremia 34:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Viongozi wote na watu wote waliofanya agano hilo walikubaliana wote wawaachie huru watumwa wao wa kiume na wa kike, na mtu yeyote asiwafanye tena kuwa watumwa. Walikubaliana, wakawaacha huru.

Yeremia 34

Yeremia 34:3-17