Yeremia 33:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nasema kwamba nyumba za mji wa Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitabomolewa kwa sababu ya kuzingirwa na kwa sababu ya mashambulizi.

Yeremia 33

Yeremia 33:1-9