Yeremia 33:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama vile nyota angani na mchanga wa pwani visivyohesabika, ndivyo nitakavyoongeza idadi ya wazawa wa mtumishi wangu Daudi na idadi ya makuhani wa ukoo wa Lawi.”

Yeremia 33

Yeremia 33:15-26