Yeremia 33:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Mahali hapa ambapo ni jangwa bila watu wala wanyama, na katika miji yake yote, patakuwa na malisho ambayo wachungaji watalisha makundi yao ya kondoo.

Yeremia 33

Yeremia 33:10-19