Yeremia 32:7 Biblia Habari Njema (BHN)

“Hanameli, mwana wa baba yako mdogo Shalumu, atakujia na kusema: ‘Nunua shamba langu lililoko Anathothi, maana wewe ni ndugu yangu kabisa, na unayo haki ya kulikomboa.’”

Yeremia 32

Yeremia 32:1-9