Yeremia 32:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Sedekia, mfalme wa Yuda, hataepa kutiwa mikononi mwa Wakaldayo; hakika atatekwa na mfalme wa Babuloni, ataonana naye uso kwa uso na kuongea naye ana kwa ana.

Yeremia 32

Yeremia 32:1-7