Yeremia 32:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, ee Mwenyezi-Mungu, wewe ndiwe uliyeniambia: “Nunua shamba kwa fedha na kuweka mashahidi,” ingawa mji wenyewe umetekwa na Wakaldayo.

Yeremia 32

Yeremia 32:15-29