Yeremia 32:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao walifika, wakaitwa na kuimiliki. Lakini wao hawakukusikiliza, wala hawakufuata sheria zako. Hawakutenda mambo uliyoamuru. Ndiyo maana utawafanya wapatwe na balaa hii.

Yeremia 32

Yeremia 32:18-25