Yeremia 32:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika nchi ya Misri ulifanya maajabu, ukatenda miujiza, na unaendelea kufanya hivyo mpaka leo miongoni mwa Waisraeli na katika mataifa mengine pia, jambo ambalo limekufanya ujulikane kila mahali.

Yeremia 32

Yeremia 32:12-21