Yeremia 32:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yeremia mnamo mwaka wa kumi wa utawala wa Sedekia, mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Nebukadneza.

Yeremia 32

Yeremia 32:1-8