Yeremia 31:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mbingu zaweza kupimwa, na misingi ya dunia kuchunguzwa, basi, nitawatupilia mbali wazawa wa Israeli, kwa sababu ya mambo yote waliyotenda. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Yeremia 31

Yeremia 31:30-40