Yeremia 31:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na wazee wao nilipowatoa kwa mkono wangu kutoka Misri; agano hilo walilivunja, ingawa mimi nilikuwa Bwana wao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Yeremia 31

Yeremia 31:22-37